Kutoka kulia, Mkuu wa idara ya habari na Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro, Jerryson Tetege, Amissi Tambwe na Mbuyu Twite wakishoo ‘Love’ nchini Tunisia baada ya kutua wakitokea Dubai.
Yanga na Etoile du Sahel zitachuana jumamosi kuanzia saa 3:00 kwa saa za Tanzania katika mechi ya marudiano ya hatua ya 16 bora ya kombe la Shirikisho.
Mechi ya kwanza timu hizo zilitoka sare ya 1-1 uwanja wa Taifa, Dar es salaam
No comments:
Post a Comment