Waitaliano hao wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 3-0 huku Nyota mwiba wa Juve pamoja na Argentina Carlos Tevez akianza kucheka na Nyavu katika dakika ya tatu kabla ya Morata kupachika bao la pili kunako dakika ya 70.
Kwa mara nyingine tena Tevez akawainua vitini mashabiki wa Juve kwa kutupia kambani bao la tatu katika dakika ya 80.
Kwa matokeo hayo Vibibi vizee hao wanakuwa wamesonga mbele kwa jumla ya mabao 5-1 baada ya mchezo wa kwanz a kushinda bao 2-1.
VIKOSI:
Borussia Dortmund: Weidenfeller, Papastathopoulos, Subotic, Hummels, Schmelzer, Kampl, Bender, Gundogan, Reus, Mkhitaryan, Aubameyang.
Subs: Langerak, Kehl, Kagawa, Blaszczykowski, Kirch, Immobile, Ramos.
Juventus: Buffon, Lichtsteiner, Bonucci, Chiellini, Evra, Vidal, Marchisio, Pogba, Tevez, Pereyra, Morata.
Subs: Storari, Ogbonna, Barzagli, Pepe, Padoin, Llorente, Matri.
Referee: Milorad Mazic (Serbia)
No comments:
Post a Comment